Dkt. Mpango ahudhuria kuagwa Hayati Kibaki Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amehudhuria ibada ya kitaifa ya kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu wa nchi ya Kenya Hayati Mwai Kibaki. Read more about Dkt. Mpango ahudhuria kuagwa Hayati Kibaki