Dkt. Mpango ahudhuria kuagwa Hayati Kibaki

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amehudhuria ibada ya kitaifa ya kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu wa nchi ya Kenya Hayati Mwai Kibaki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS