Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, akitoa pesa kwa wananchi waliojeruhiwa na Panya road
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, ametoa pole ya shilingi laki moja kwa kila mwananchi aliyejatwa mapanga katika mtaa wa Mtongani Kunduchi usiku wa kuamkia Mei 2, 2022.