Gwajima atoa laki 1 kwa waliokatwa mapanga

Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, akitoa pesa kwa wananchi waliojeruhiwa na Panya road

Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, ametoa pole ya shilingi laki moja kwa kila mwananchi aliyejatwa mapanga katika mtaa wa Mtongani Kunduchi usiku wa kuamkia Mei 2, 2022. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS