Chelsea kujiuliza kwa Liverpool Fainali FA Cup

(Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp na Kocha wa Chelsea Thomas Tuchel)

Vilabu vya Chelsea na Liverpool watakuatana kwenye mchezo fainali ya kombe la FA jumamosi hii Mei 14, 2022 ikiwa ni mara ya pili kwa timu hizi kukutana kwenye hatua ya fainali msimu huu baada ya kukutana kwenye faini ya Carling Cup mwezi February mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS