IGP Sirro aahidi milioni 1 kwa mtu huyu

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema kwamba mwananchi yeyote atakayefanikisha kutoa taarifa na kukamatwa kwa mtuhumiwa anayejihusisha wizi wa mifugo na uhalifu wa kutumia silaha atazawadiwa kiasi cha shilingi milioni moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS