Liverpool Unbeaten mtoano, Klopp kutengewa fungu

(Wachezaji wa Liverpool Sadio Mane na Luis Diaz)

Klabu ya liverpool sasa haijapoteza mchezo katika uwanja wa Anfield kwenye michezo 12 ya hatua ya mtoano ya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya wakishinda michezo 10 na kutoka sare 2 baada ya kuwalaza Villareal magoli 2 kwa 0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya pili

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS