Wakulima wa zabibu walipwe pesa zao - Mavunde Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde amewaagiza viongozi wa ushirika wa zabibu UWAZAMAM kuhakikisha unawalipa wakulima haraka malipo ya zabibu zao walizonunua. Read more about Wakulima wa zabibu walipwe pesa zao - Mavunde