Wananchi wanataka dawa kwenye vituo - Prof. Makubi

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ameutaka uongozi mpya wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kuweka kipaumbele katika upatikanaji wa dawa katika maeneo yote pamoja na kuharakisha mchakato wa  kusambaza katika nchi za SADC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS