Man.United waongoza kwa kufungwa na Liverpool EPL

(Nahodha wa Manchester United Harry Maguire akipiga kelele baada ya Mo salah wa liverpool (kushoto) kufunga goli la pili)

Baada ya kukubali kichapo cha magoli 4 kwa sifuri kutoka kwa Liverpool usiku wa jana, sasa klabu ya Manchester united ndio timu iliyoruhusu kufungwa magoli mengi zaidi na Liverpool katika historia ya ligi kuu ya England kuliko mpinzani mwingine yoyote wakifungwa jumla ya magoli 74.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS