Juventus, Fiorentina mmoja kumfata Inter Fainali

Lautaro Martinez amefunga mabao 2 kwenye ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya AC Milan

Mabingwa wa Italia Inter Milan wamefuzu hatua ya fainali ya michuano ya Coppa Italia kwa ushindi wa Jumla wa mabao 3-0 dhidi ya wapinzani wao wa jadi AC Milan. Katika hatua ya fainali watacheza na mshindi wa jumla wa mchezo kati ya Juventus na Fiorentina.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS