Anusurika kifo baada ya kukimbilia gari la polisi

Kijana aliyenusurika kifo

Kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 hadi 30 mkazi wa Kijiji cha Igoma, Kata ya Iwungilo mkoani Njombe, amenusurika kifo kutoka kwa wananchi na kukimbilia kwenye gari la polisi baada ya kukutwa na mali za wizi akizisafirisha kwa baiskeli kwenda kuziuza mjini Njombe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS