Mbowe amwambia RC Sendiga walichoongea na Rais
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHEDEMA) Taifa Freeman Mbowe, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Queen Sendiga mazungumzo yaliyolenga siasa za amani ndani ya mkoa na Taifa.

