Djokovic aachana na kocha wake

Nyota Novak Djokovic akiwa na kocha wake wa zamani Marian Vajda

Nyota wa tennis Mserbia Novak Djokovic ameachana na mkufunzi wake raia wa Slovakia Marian Vajda baada ya kudumu kwa kipindi cha miaka 15 huku mara ya kwanza kwa wawili hao kufanya kazi ilikuwa mnamo mwaka 2006.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS