Nyota Novak Djokovic akiwa na kocha wake wa zamani Marian Vajda
Nyota wa tennis Mserbia Novak Djokovic ameachana na mkufunzi wake raia wa Slovakia Marian Vajda baada ya kudumu kwa kipindi cha miaka 15 huku mara ya kwanza kwa wawili hao kufanya kazi ilikuwa mnamo mwaka 2006.