Mvungi kuanza majaribio ya soka la kulipwa

Mchezaji wa mpira wa miguu kutoka katika kituo cha kufunzia soka cha Cambiasso Sports, Omary Mvungi (Kushoto) akiwa na mchezaji wa zamani wa Chelsea, Dennis Wise (Kulia) baada ya kutua nchini Uingereza.

Mchezaji wa mpira wa miguu kutoka katika kituo cha kufunzia soka cha Cambiasso Sports, Omary Mvungi amefanikiwa kufika nchini Uingereza kwaajili ya kuanza mafunzo na majaribio ya kucheza soko la kulipwa Barani Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS