Edwards aweka rekodi mpya ya 3-Point NBA

(Anthony Edwards akijaribu kumtoka Nikol Jokic wa Denver Nuggets)

Anthony Edwards ameweka rekodi ya kuwa mcheza kikapu mwenye umri mdogo zaidi kufunga alama tatu mara 10 kwenye mchezo mmoja katika historia ya NBA na kumpiku Kyrie Irving aliyefanya hivyo mwaka 2015 alipokuwa na miaka 22.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS