Klopp agoma kutafuta m'badala wa Salah na Mane

Jurgen Klopp kulia akiwa na Sadio Mane katika na Mo Salah kushoto

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp hanampango wakufanya usajili wa wachezaji watakaoziba nafasi za wachezaji Mo Salah na Sadio Mane watakao kosekana kwa takribani mwezi mzima kutokana na ushiriki wao kwenye michuano ya mataifa barani Afrika AFCON inayoanza January 9 mpaka Februari 6, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS