Kariakoo Derby leo na rekodi za kibabe

(Simba na Yanga zilipokutana Septemba 25, 2021 Fainali ya Ngao ya Jamii)

Mapacha wa Kariakoo, vilabu vya Simba na Yanga vinataraji kuchezwa saa 11:00 Jioni ya leo Disemba 11, 2021 kwenye dimba la Mkapa ukiwa ni mchezo wa mzunguko wa 8 wa Ligi kuu NBC Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS