(Simba na Yanga zilipokutana Septemba 25, 2021 Fainali ya Ngao ya Jamii)
Mapacha wa Kariakoo, vilabu vya Simba na Yanga vinataraji kuchezwa saa 11:00 Jioni ya leo Disemba 11, 2021 kwenye dimba la Mkapa ukiwa ni mchezo wa mzunguko wa 8 wa Ligi kuu NBC Tanzania.