Hatuna mgonjwa wa Omicron - Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ameitaka sekta binafsi kuitetea nchi kwa kuwa vita ya kibishara ni kubwa ikiwemo baadi ya watu kuitangaza Tanzania kuwa ni moja ya nchi hatari za kutembelea kwa madai ya kwamba wimbi la nne la kirusi cha Omicron limeshaingia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS