Stephen Curry amembakisha Ray Allen tu NBA

(Stephen Curry akirusha mpira kujaribu kufunga alama nyingi zaidi)

Nyota wa Golden State Warriors, Stephen Curry amezidi kuwa kwenye kiwango bora kwenye msimu huu wa NBA baada ya kufanikiwa kupiga 3-pointer 7 na kubakisha 3-pointers 16 ili kumfikia na kuvunja rekodi ya Ray Allen kinara wa muda wote NBA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS