Taifa Stars vs Uganda kuumana maadhimisho ya Uhuru

(Mkurugenzi wa Michezo, Yussuph Singo (katikati) akiongelea maandalizi)

Taifa Stars inatazamiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ saa2:00 usiku Disemba 9, 2021 kwenye dimba la Mkapa Jijini Dar es Salaam kupamba sherehe ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS