Bingwa wa F1 kupatikana Disemba 12

(Lewis Hamilton (kushoto) na Max Verstappen (kulia)

Mashindano ya mbio za magari ya Langa Langa yanayotaraji kufanyika Disemba 12 mwaka huu nchini Abu Dhabi yanataraji kuwa yenye upinzani mkali kwani yamebeba hatma ya kuamua bingwa kati ya Lewis Hamilton na Max Verstappen.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS