Kwa Mungu kuna maswali ya kujibu- Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba anajitahidi kufanya anavyoweza ili kuiweka nchi kwenye hali nzuri kwani hata siku yake ikifika akaulizwa na Mungu ni kipi alichokifanya ataeleza.