Mchumba wa Sabaya atoa ushahidi mahakamani

Jesca Thomas (Mchumba wa Sabaya), na kulia ni aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya

Shahidi wa pili wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake, Jesca Thomas ameieleza mahakama kuwa akiwa hotelini Dar es Salaam na aliyekuwa DC Hai, ambaye ni mchumba wake walivamiwa na kukamatwa na polisi waliokuwa wamevalia nguo za kiraia na silaha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS