Omog bado yupo sana Mtibwa Sugar

Kocha mkuu wa Mtibwa Sugar (Kushoto) akiteta jambo na msaidizi wake Awadh Issa.

Uongozi wa Mtibwa Sugar umesema hauna mpango wa kuachana na Kocha wao kutoka nchini Cameroon Joseph Omog, licha ya kuanza vibaya majukumu yake msimu huu 2021/22.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS