Waamuzi waliochezesha Simba, Yanga wapewa adhabu

Mwamuzi Ahmada Simba aliyechezesha mchezo wa Simba SC na Tanzania Prisons na Mwamuzi Hussein Athumani aliyechezesha mchezo wa Yanga dhidi ya Mbeya City wameondolewa kwenye ratiba ya waamuzi kwa mizunguko mitatu kwa kushindwa kutafsiri sheria kwenye michezo ya Ligi kuu Tanzania bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS