Sababu ya soda kuadimika yatajwa

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji

Kufuatia uhaba wa vinywaji baridi nchini, uchunguzi umebaini kwamba uhaba huo umetokana na changamoto ya upatikanaji wa malighafi muhimu zinazohitajika katika uzalishaji wa vinywaji hivyo hususania sukari ya viwandani ambayo inaagizwa kutoka nje ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS