"Harmonize alinikatisha tamaa" - Young Tuso

Picha ya Young Tuso na Harmonize

Mfalme wa Temeke Young Tuso amefunguka kusema Harmonize alimkatisha tamaa baada ya ku-date na staa wa filamu Jacqueline Wolper kwa sababu hata yeye alitamani kuwa naye kwenye mahusiano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS