''Kimbunga Jobo kimeondoka Tanzania'' - TMA

Moja ya picha za satelite za kimbunga Jobo kutoka TMA

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) leo Aprili 25, 2021, imesema mwenendo wa kimbunga hafifu “Jobo” unaonesha kuwa katika kipindi cha saa 6 zilizopita kimepoteza nguvu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS