“Nitaleta mapya na kuendeleza mema"- Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa dira na mwelekeo wa awamu ya sita itakuwa ni kudumisha mazuri ya awamu zilizopita, kuyaendeleza mema yaliyopo na kuleta mengine mapya.