“Nitaleta mapya na kuendeleza mema"- Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akilihutubia Bunge jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa dira na mwelekeo wa awamu ya sita itakuwa ni  kudumisha mazuri ya awamu zilizopita,  kuyaendeleza mema yaliyopo na kuleta mengine mapya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS