MTC wanukia robo fainali wavu Tunisia

kikosi cha MTC kinachopeperusha bendera vyema Tunisia

Wawakilishi wa nchi katika michuano ya Wavu klabu bingwa Africa MTC kutoka Mwanza ,wapo katika hatua nzuri kufuzu hatua ya robo fainali baada ya kufanikiwa kushinda seti 3-1 dhidi ya Wolaita Dicha ya Ethiopia

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS