kikosi cha MTC kinachopeperusha bendera vyema Tunisia
Wawakilishi wa nchi katika michuano ya Wavu klabu bingwa Africa MTC kutoka Mwanza ,wapo katika hatua nzuri kufuzu hatua ya robo fainali baada ya kufanikiwa kushinda seti 3-1 dhidi ya Wolaita Dicha ya Ethiopia