Nyota wa Golden State Warriors , Stephen Curry(Kushoto)Pichani akionyesha umahiri wake katika moja ya mchezo wa NBA.
Nyota wa Golden State Warriors ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza katika NBA mwenye umri wa miaka 33+ kufunga alama 30 na zaidi katika michezo 11 mfululizo.