Spurs yamtimua kazi Jose Mourinho

Aliyekuwa kocha wa Spurs, Jose Mourinho.

Kwa mujibu wa tovuti ya Sky Sports ya nchini England, kocha Jose Mourinho amefukuzwa kazi na klabu ya Tottenham Hotspurs kufuatia mwenendo wa matokeo yasiyoridhisha klabu hapo hususani kwenye ungwe ya pili ya ligi kuu nchini England.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS