Aliyetelekezwa na mume kisa mtoto asaidiwa

Zuhura Shabani akikabidhiwa msaada kutoka Meridianbet

Siku chache zilizopita baada ya baadhi ya vyombo vya habari  kufanya kipindi na Zuhura Shabani (32) ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja aliyetelekezwa na mume wake kwa kile kilichodaiwa kuwa ni ulemavu wa mtoto wake hatimaye apewa msaada na MERIDIAN BET.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS