Aliyetelekezwa na mume kisa mtoto asaidiwa
Siku chache zilizopita baada ya baadhi ya vyombo vya habari kufanya kipindi na Zuhura Shabani (32) ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja aliyetelekezwa na mume wake kwa kile kilichodaiwa kuwa ni ulemavu wa mtoto wake hatimaye apewa msaada na MERIDIAN BET.