Solskjear kukataa unyonge kwa Arsenal Leo?

Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akijaribu kuwatoka walinzi wa Arsenal kwenye mchezo wa awali walipokutana EPL 2020.

Washika mitutu wa jiji la London, klabu ya Arsenal watashuka dimbani usiku wa leo tarehe 30 Januari 2021 kukipiga na wapinzani wake wa muda mrefu klabu ya Manchester United mishale ya saa 2:30 usiku kwenye ligi kuu nchini England.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS