Taarifa kuhusu majeraha ya Harry Kane hii hapa

Nahodha wa Tottenham Hotspurs, Harry Kane akiugulia maumivu katika mchezo wao dhidi ya Liverpool

Kocha wa Klabu ya Tottenham Hotspurs, Jose Mourinho amethibitisha kwamba atamkosa mshambuliaji wake matata, Harry Kane kwa majuma machache kufuatia kupata majeraha ya kiundo cha mguu katika mchezo wa jana dhidi ya Liverpool.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS