Mshambuliaji wa Arsenal, Piere Emerick Aubameyang akijaribu kufunga bao bila ya mafanikio.
Klabu ya Arsenal imejikuta ikivuliwa ubingwa wa kombe la FA kwa mshangao baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Southampton, mchezo uliopigwa katika dimba la St Mary's.