Kaimu Mkuu wa Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kanali Hassan Mabena.
Jeshi la kujenga Taifa (JKT) limesitisha mafunzo kwa kundi la kujitolea ya kwa mwaka wa mafunzo wa 2020/2021 yaliyotarajia kuanza hivi karibuni katika kambi mbalimbali hapa nchini kote.