JKT yasitisha mafunzo

Kaimu Mkuu wa Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kanali Hassan Mabena.

Jeshi la kujenga Taifa (JKT) limesitisha mafunzo kwa kundi la kujitolea ya kwa mwaka wa mafunzo wa 2020/2021 yaliyotarajia kuanza hivi karibuni katika kambi mbalimbali hapa nchini kote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS