Sababu ya Alikiba kutovaa hereni

Msanii Alikiba

Nyota wa muziki wa Bongofleva Alikiba ambaye jana Jumatatu Januari 18, 2021, aliachia ngoma yake mpya inayoitwa Infidele, amesema suala la uvaaji kwenye video zake halimsumbui tena maana mambo mengi ameshayapitia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS