Undani wa shule atayoizindua Magufuli leo

shule ya sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anatarajia kuzindua shule ya sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba ambayo imejengwa upya mara baada ya kuathiriwa na tetemeko la ardhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS