"Dar es Salaam kuna mapungufu, RC yupo"- Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, amesema kuwa atakaporudi Dar es Salaam, akute ujenzi wa shule ya msingi Barango, iliyopo wilayani Ubungo iwe imekamilika na wanafunzi wawe wanakaa kwenye madawati.