"Dar es Salaam kuna mapungufu, RC yupo"- Magufuli

Kushoto ni Rais Dkt. John Magufuli na kulia ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaa, Aboubakar Kunenge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, amesema kuwa atakaporudi Dar es Salaam, akute ujenzi wa shule ya msingi Barango, iliyopo wilayani Ubungo iwe imekamilika na wanafunzi wawe wanakaa kwenye madawati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS