Steve Bruce kuvunja uteja kwa Arsenal leo?
Ligi kuu nchini England inatazamiwa kuendelea usiku wa leo tarehe 18 Januari 2021 kwa mchezo mmoja, 'Washika mitutu wa jiji la London' klabu ya Arsenal itawakaribisha Newcastle United inayonolewa na kocha Steve Bruce mchezo utakaochezwa sa 4:00 usiku leo kwenye dimba la Emirates.