Bodi ya Ligi yatangaza ratiba ya viporo

Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi, Almas Kasongo.

Bodi ya ligi Tanzania TPLB, imetangaza tarehe za michezo ya ligi hiyo iliyoghairishwa kutokana na michezo ya kimataifa kuwa itaanza kuchezwa kuanzia tarehe 4 Februari na ratiba ya michezo ya muendelezo ya mzunguko wa 19 itangwa hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS