"Mpaka siku naondoka nitakuwa sijamlipa"- Goodluck

Mwimbaji wa muziki wa injili, Goodluck Gozbert

Mwimbaji wa muziki wa injili, Goodluck Gozbert, amesema kuwa yeye anaamini kwamba hadi pale atakapofikia wakati wa kuondoka duniani, atakuwa hajafanya kitu chochote ambacho kinatosheleza yale mema yote aliyofanyiwa na mama yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS