Kusaya atoa wito huu kwa wafanyabiashara

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya ametoa wito kwa wafanyabiashara kujenga viwanda vya mbolea ili izalishwe kwa wingi hapa nchini na kusaidia bei ishuke kwa manufaa ya wakulima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS