Uchaguzi wa Rais Barcelona wasogezwa mbele

Carles Tusquets anayokaimu nafasi ya Urais wa klabu ya Barcelona kwa sasa.

Uchaguzi wa kumchagua rais mpya wa klabu ya Barcelona uliopangwa ufanyike tarehe 24 mwezi huu umesogezwa mbele na sasa utafanyika tarehe 7 machi 2021 baada ya bodi ya klabu hiyo kusema wamefanya hivyo ili kukepa mikusanyiko kipindi hiki ambacho maambukizi ya Covid-19 yameshamiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS