Uchaguzi wa Rais Barcelona wasogezwa mbele
Uchaguzi wa kumchagua rais mpya wa klabu ya Barcelona uliopangwa ufanyike tarehe 24 mwezi huu umesogezwa mbele na sasa utafanyika tarehe 7 machi 2021 baada ya bodi ya klabu hiyo kusema wamefanya hivyo ili kukepa mikusanyiko kipindi hiki ambacho maambukizi ya Covid-19 yameshamiri.