Ziara ya kushtukiza ya Jokate yajibu watu 327

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, amesema baada ya ziara yake kwenye ofisi za TANESCO Kisarawe tarehe 13.01.2021, kati ya wananchi 332 waliofika siku hiyo kuomba 'control number' wananchi 327 walipatiwa siku hiyo hiyo na waliobaki walipatiwa siku inayofuata.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS