Taarifa kuhusu Erasto Nyoni kutosafiri na Stars
Mchezaji kiraka wa klabu ya Simba, Erasto Nyoni anatarajiwa kuungana na kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ''Taifa Stars'' mwishoni mwa wiki hii nchini Cameroon kwa ajili ya michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN.