Fahamu kamati ya watu 14 ilivyofanikisha mapinduzi
Katibu wa kwanza wa vijana wa Afro Shirazi, Baraka Shamte, amesema kuwa siku ya mapinduzi Rais wa Zanzibar wa wakati huo, Hayati Abeid Karume, aliondoka Zanzibar na kukimbilia Bara ikiwa ni tahadhari ya kuepuka kukamatwa endapo utawala wa wakoloni ungeshinda.