Awauwa baba, mama na ndugu zake wawili

Kijana Lawrence Waruinge (kushoto) na mpenzi wake (kulia)

Lawrence Waruinge na mpenzi wake wamefikishwa mbele ya makahakama Kaunti ya Kiambu, Kenya, kutokana na mauaji ya watu wa tano wote wa familia ya Lawrence, akiwemo baba yake mzazi, mama yake mzazi, ndugu zake wawili pamoja na mfanyakazi wa ndani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS