"Wanakuonea wivu hadi ukisemwa vibaya" - Nanauka

Mhamasishaji Joel Nanauka

Mhamasishaji Joel Nanauka amefunguka kuhusu suala la wivu ambalo linawatesa watu wengi kwa kusema, wivu ni hisia inayompata mtu pale anapoona mwingine anapata au kufanikiwa kisha yeye kuumia na kuchukia, pia wapo wenye wivu wa kimya kimya na wanaosema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS