"Wanakuonea wivu hadi ukisemwa vibaya" - Nanauka
Mhamasishaji Joel Nanauka amefunguka kuhusu suala la wivu ambalo linawatesa watu wengi kwa kusema, wivu ni hisia inayompata mtu pale anapoona mwingine anapata au kufanikiwa kisha yeye kuumia na kuchukia, pia wapo wenye wivu wa kimya kimya na wanaosema.