Milioni 350 kutoka China zatua Chato Waziri wa Mambo ya Nje ya China Wang Yi Waziri wa Mambo ya Nje ya China, Wang Yi ametoa hundi ya shilingi milioni 350 kwa Chuo cha Veta wilaya ya Chato, ili kuhakikisha wanafunzi watakaosoma wanapata ujuzi wa kutosha juu ya fani ya uvuvi wa samaki. Read more about Milioni 350 kutoka China zatua Chato