Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan akiwaona baadhi ya majeruhi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, amefika General Hospital Dodoma na kuwafariji majeruhi wa ajali ya treni iliyotokea jana Januari 2, 2021 Dodoma.